Habari za Punde

Wajumbe wa Kamati ya Kudhibiti Hesabu za Serikali wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Wakagua Mradi wa Ujenzi wa Jengo La Mahkama Kuu Tunguu.

Wajumbe wa Kamati ya Kuchunguza na Kudhibiti Hesabu za Serikali ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar wakiwasili katika  viwanja vya Mradi wa Ujenzi wa Mahkama Kuu Tunguu Zanzibar Wilaya ya Kusini Unguja kwa ajili ya kukagua maendeleo ya mradi wa ujenzi huo.
Wajumbe wa kamati ya kuchunguza na kudhibiti hesabu za serikali ya Baraza la Wawakilishi wakipitia baadhi ya nyaraka zinazohusu matumizi ya mahakama kuu  katika mwaka 2019/20 kufuatia hoja zilizotolewa na mkaguzi mkuu wa hesabu za Serikali.
Wajumbe wa kamati ya kuchunguza na kudhibiti hesabu za serikali ya Baraza la Wawakilishi wakiwasili katika Tunguu kwa ajili ya kukagua maendeleo ya mradi wa ujenzi wa Mahakama kuu ya Zanzibar.
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.