Makamu wa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango akizindua Sera ya Taifa ya
Mazingira ya mwaka 2021. Kushoto kwa Makamu wa Rais ni Waziri wa Nchi Ofisi ya
Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Dkt. Selemani Jafo na kulia ni Mwenyekiti
wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya uwekezaji, viwanda, biashara na mazingira,
David Kihanzile.
Makamu wa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip akimkabidhi Waziri wa Nchi Ofisi ya
Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Dkt. Selemani Jafo kitabu cha Mkakati
pamoja na Sera ya Taifa ya Mazingira ya mwaka 2021 kwaajili ya utekelezaji mara
baada ya kuzindua Sera hiyo katika Viwanja vya Nyerere Square Jijini Dodoma
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. Philip Mpango akizungumza na viongozi, wadau wa mazingira,
wanafunzi na wananchi mbalimbali juu ya uhifadhi wa mazingira wakati wa
uzinduzi wa Sera ya Taifa ya Mazingira ya mwaka 2021 uliofanyika katika viwanja
vya Nyerere Square Jijini Dodoma. Februari 12,2022.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. Philip Mpango akizungumza na viongozi, wadau wa mazingira,
wanafunzi na wananchi mbalimbali juu ya uhifadhi wa mazingira wakati wa
uzinduzi wa Sera ya Taifa ya Mazingira ya mwaka 2021 uliofanyika katika viwanja
vya Nyerere Square Jijini Dodoma. Februari 12,2022.
No comments:
Post a Comment