Habari za Punde

Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan amtembelea Mke wa aliyekuwa Rais wa Kwanza wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mama Fatma Karume

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Mke wa aliyekuwa Rais wa Kwanza wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mama Fatma Karume alipomtembelea kumjulia hali nyumbani kwake Bumbwini Mkoa wa Kaskazini Unguja leo tarehe 09 Machi, 2022.
Mke wa aliyekuwa Rais wa Kwanza wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mama Fatma Karume akisisitiza jambo wakati akiongea na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan  alipomtembelea kumjulia hali nyumbani kwake Bumbwini Mkoa wa Kaskazini Unguja leo tarehe 09 Machi, 2022.
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.