MKE wa Rais wa Zanzibar ambae ni Mwenyekiti wa
Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation Mama Mariam Mwinyi akiwasalimia
Wananchi akiwa katika Matembezi ya Mazoezi ya viungo ya Kilomita Tano yaliyoazia katika makutano ya
barabara ya Mangapwani na kumalizikia katika viwanja vya mpira Bumbwini Makoba
kwa ajili ya mazoezi ya pamoja na (kulia kwake) Katibu wa Baraza la Mapinduzi
na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said na (kushoto kwake) Mkuu wa
Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe.Ayoub Mohammed Mahmoud,ikiwa ni muendelezo wa
ratiba yake ya kila mwisho wa mwezi kujumuika na Wananchi katika matembezi na
kumalizia kwa mazoezi ya viungo
MKE wa Rais wa Zanzibar ambae pia ni Mwenyekiti
wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation Mama Mariam Mwinyi akiwa katika
matembezi ya mazoezi ya viungo ya Kilomita Tano yaliyoazia katika makutano ya barabara ya
Mangapwani na kumalizikia katika viwanja vya mpira Bumbwini Makoba,Wilaya ya
Kaskazini “B”Unguja na (kulia kwake) Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu
Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said na Mama Asha Shamsi na (kushoto kwake)
Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe.Ayoub Mohammed Mahmoud, wakishiriki katika
matembezi hayo
MKE wa Rais wa Zanzibar ambae pia ni Mwenyekiti
wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation Mama Mariam Mwinyi akiwa katika
matembezi ya mazoezi ya viungo yaliyoazia katika makutano ya barabara ya
Mangapwani na kumalizikia katika viwanja vya mpira Bumbwini Makoba,Wilaya ya
Kaskazini “B”Unguja na (kulia kwake) Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu
Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali
Zanzibar Mhe. Lela Muhammed Mussa na (kushoto kwake) Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini
Unguja Mhe.Ayoub Mohammed Mahmoud, wakishiriki katika matembezi hayo ya
kilomita Tano
MKE wa Rais wa Zanzibar ambae pia ni Mwenyekiti
wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation Mama Mariam Mwinyi akiwasalimia
Wananchi wa Kijiji cha Bumbwini wakati akiwa katika matembezi ya Kilimota Tano
yalioazia katika makutano ya barabara ya Mangapwani na kumalizia kwa mazoezi ya
viungo yaliyofanyika katika viwanja vya mpira Bumbwini Makoba Wilaya ya
Kaskazini “B” Unguja na (kushoto kwake) Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe.
Ayoub Mohammed Mahmoud
MKE wa Rais wa Zanzibar ambae pia ni Mwenyekiti
wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation Mama Mariam Mwinyi akiwasalimia
Wananchi wa Kijiji cha Bumbwini wakati akiwa katika matembezi ya Kilomota Tano
yaliyoazia katika makutano ya barabara ya Mangapwani na kumalizia kwa mazoezi
ya viungo yaliyofanyika katika viwanja vya mpira Bumbwini Makoba Wilaya ya
Kaskazini “B” Unguja kwa mazoezi ya pamoja
WANANCHI wa Kijiji cha Bumbwini wakimsalimia Mke
wa Rais wa Zanzibar ambae pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Maisha Bora
Foundation Mama Mariam Mwinyi.(hayupo pichani) wakati wa akiwa katika matembezi
ya kilomita Tano yaliyoazia katika makutano ya barabara ya Mangapwani na
kumalizikia katika viwanja vya mpira Bumbwini Makoba Wilaya ya Kaskazini “B”Unguja
leo 28-5-2022. Kwa kujumuika na Wananchi na Vikundi vya mazoezi vya Mkoa wa
Kaskazini Unguja katika mazoezi ya viungo.
MKE wa Rais wa Zanzibar ambae pia ni Mwenyekiti
wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation Mama Mariam Mwinyi akiwasalimia
Wananchi wa Kijiji cha Bumbwini wakati akiwa katika matembezi ya Kilomota Tano
yaliyoazia katika makutano ya barabara ya Mangapwani na kumalizia kwa mazoezi
ya viungo yaliyofanyika katika viwanja vya mpira Bumbwini Makoba Wilaya ya
Kaskazini “B” Unguja kwa mazoezi ya pamoja
MKE wa Rais wa Zanzibar ambae pia ni Mwenyekiti
wa Taasisi ya Maisha Bora Foundation Mama Mariam Mwinyi akiwa katika matembezi
ya Kilomita Tano yaliyoazia katika makutano ya barabara ya Mangapwani na
kumalizikia katika viwanja vya mpira vya Bumbwini Makoba Wilaya ya Kaskazini “B”Unguja,
kwa mazoezi ya pamoja ya viungo na (kulia kwake) Mama Asha Suleiman, Katibu wa
Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said na Waziri
wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe.Lela Muhammed Mussa na (kushoto
kwake) Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe.Ayoub Mohammed Mahmoud.
MKE wa Rais wa Zanzibar ambae pia ni Mwenyekiti wa
Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation Mama Mariam Mwinyi akijumuika na
Wananchi na Vikundi vya mazoezi ya viungo vya Wilaya ya Kaskazini “B” Unguja
katika mazoezi ya pamoja yaliyofanyika katika viwanja vya mpira Bumbwini Makoba
na (kushoto kwake) Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe.Ayoub Mohammed Mahmoud
na (kulia kwake) Mama Asha Shamsi wakijumuika katika mazoezi hayo baada ya
kumaliza matembezi ya Kilomita Tano yaliyoazia katika makutano ya barabara ya
Mangapwani
MKE wa Rais wa Zanzibar ambae pia ni Mwenyekiti wa
Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation Mama Mariam Mwinyi akijumuika na
Wananchi na Vikundi vya mazoezi ya viungo vya Wilaya ya Kaskazini “B” Unguja
katika mazoezi ya pamoja yaliyofanyika katika viwanja vya mpira Bumbwini Makoba
na (kushoto kwake) Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe.Ayoub Mohammed Mahmoud
na (kulia kwake) Mama Asha Shamsi wakijumuika katika mazoezi hayo baada ya
kumaliza matembezi ya Kilomita Tano yaliyoazia katika makutano ya barabara ya
Mangapwani
MKE wa Rais wa Zanzibar ambae pia ni Mwenyekiti wa
Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation Mama Mariam Mwinyi akijumuika na
Wananchi na Vikundi vya mazoezi ya viungo vya Wilaya ya Kaskazini “B” Unguja
katika mazoezi ya pamoja yaliyofanyika katika viwanja vya mpira Bumbwini Makoba
na (kushoto kwake) Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe.Ayoub Mohammed Mahmoud
na (kulia kwake) Mama Asha Shamsi na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali
Zanzibar Mhe.Lela Muhammed Mussa, wakijumuika katika mazoezi ya pamoja baada ya
kumaliza matembezi ya Kilomita Tano yaliyoazia katika makutano ya barabara ya
Mangapwani.
MKE wa Rais wa Zanzibar ambae ni Mwenyekiti wa
Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation Mama Mariam Mwinyi akizungumza na
kuwasalimia Wananchi wa Wilaya ya Kaskazini “B” Unguja katika viwanja vya mpira
Bumbwini Makoba baada ya kumaliza kwa mazoezi ya viungo yaliyoenda sambamba na
matembezi ya kilomita Tano yaliyoazia katika makutano ya barabara ya Mangapwani
na kumalizika katika viwanja hivyo kwa mazoezi ya viungo ya pamoja.
WANANCHI wa Bumbwini Wilaya ya Kaskazini “B”Unguja
wakishangiria wakati Mke wa Rais wa Zanzibar ambae ni Mwenyekiti wa Taasisi ya
Zanzibar Maisha Bora Foundation Mama Mariam Mwinyi.(hayupo pichani) akizungumza
na kuwasalimia Wananchi baada ya kumalizika kwa matembezi na mazoezi ya viungo
yaliyofanyika katika viwanja vya mpira Bumbwini Makoba leo 28-2022.
No comments:
Post a Comment