Kikosi Kabambe cha Timu ya Small Simba kilichokuwa chini ya Kocha Msoma Mdogo Abdughan na kuweza kuweka Historia ya mchezo wa Mpira Zanzibar na Tanzania Bara katika Michuano ya Ligi Kuu ya Muungano, kulita upinzani kwa Timu za Simba na Yanga katika michuano hiyo katika Uwanja wa Amaan Zanzibar.
PROF. NDALICHAKO APONGEZA PSSSF KWA KUTEKELEZA AGIZO LA RAIS SAMIA
-
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu)
Profesa Joyce Ndalichako, akizungumza na wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi
...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment