Kikosi Kabambe cha Timu ya Small Simba kilichokuwa chini ya Kocha Msoma Mdogo Abdughan na kuweza kuweka Historia ya mchezo wa Mpira Zanzibar na Tanzania Bara katika Michuano ya Ligi Kuu ya Muungano, kulita upinzani kwa Timu za Simba na Yanga katika michuano hiyo katika Uwanja wa Amaan Zanzibar.
TAKUKURU MKOA WA DODOMA YAFUATILIA MIRADI YA BILIONI 50 NA KUFANIKIWA
KUOKOA ZAIDI YA MILIONI 13
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma
Mkuu wa TAKUKURU Mkoa of wa Dodoma Christopher Myava amesema katika
utendaji kazi wa Takukuru mkoani humo katika kipin...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment