Kikosi Kabambe cha Timu ya Small Simba kilichokuwa chini ya Kocha Msoma Mdogo Abdughan na kuweza kuweka Historia ya mchezo wa Mpira Zanzibar na Tanzania Bara katika Michuano ya Ligi Kuu ya Muungano, kulita upinzani kwa Timu za Simba na Yanga katika michuano hiyo katika Uwanja wa Amaan Zanzibar.
SHULE ZA MSINGI 3 KUJENGWA LUDEWA
-
Na. Damian Kunambi, Njombe.
Kutokana na baadhi ya wananchi wilayani Ludewa mkoani Njombe kuishi katika
maeneo ya pembezoni na kupelekea watoto kutembea ...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment