Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo, Juma Duni Haji kabla ya mazungumzo yao, ofisini kwa Waziri Mkuu, Mlimwa jijini Dodoma.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akiagana na Mwenyekiti wa Chama cha ACT – Wazalendo, Juma Duni Haji baada ya mazungumzo yao ofisini kwa Waziri Mkuu, Mlimwa jijini Dodoma, jana Juni 8, 2022.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
No comments:
Post a Comment