Habari za Punde

Benki ya NMB Itandelea Kuhakikisha Ajira kwa Vijana na Wajasiriamali Mbalimbali.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidho Pikipiki (Bodaboda) mmoja wa Vijana Wajasiriamali wanaojishughulisha na biashara ya Bodaboda Unguja, Pikipiki hizo zimetolewa na Benki ya NMB kwa mkopo nafuu kwa Wajasiriamali, katika hafla hiyo zikabidhiwa Bodaboda na Bajaj.
Hii ni baada ya uzinduzi wa Go na NMB kwa ajili ya  kuwasaidia Vijana  kujiajiri. 
Benki ya NMB imetowa Pikipiki (Bodaboda) na Bajaj kwa dhamana ya masharti nafuu  kwa Vijana kwa lengo la kukuza Uchumi  kwa Jamii na kujiongozea kipato chao.






 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.