Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa
pamoja na Mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Mhe. Félix Antoine Tshisekedi Tshilombo wakati wakizungumza na Waandishi wa
Habari mara baada ya kuhitimisha ziara yake ya Kikazi ya Siku moja Kinshasa
nchini DRC tarehe 18 Agosti, 2022.
No comments:
Post a Comment