Habari za Punde

Rais Mhe.Samia Suluhu Hassan Apokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Mabalozi mbalimbali Wanaowakilisha nchi zao Tanzania, Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma Leo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Japan hapa nchini Mhe. Yasushi Misawa katika hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 25 Agosti, 2022.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Balozi wa Japan hapa nchini Mhe. Yasushi Misawa mara baada ya kupokea Hati zake za utambulisho katika hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Japan hapa nchini Mhe. Yasushi Misawa mara baada ya mazungumzo yaliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Jamhuri ya Uganda Kanali Mstaafu Fred Mwesigye katika hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Balozi wa Jamhuri ya Uganda Kanali Mstaafu Fred Mwesigye mara baada ya kupokea Hati zake za utambulisho kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Balozi wa Jamhuri ya Uganda Kanali Mstaafu Fred Mwesigye mara baada ya mazungumzo yao Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Ufalme wa Sweden hapa nchini Mhe. Charlotta Ozaki Macias katika hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Balozi Mteule wa Ufalme wa Sweden hapa nchini Mhe. Charlotta Ozaki Macias mara baada ya kukabidhi Hati za Utambulisho katika hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Balozi Mteule wa Ufalme wa Sweden hapa nchini Mhe. Charlotta Ozaki Macias mara baada ya mazungumzo yaliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Kenya hapa nchini Mhe. Isaack Njenga Gatitu mara baada ya kuwasili Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Balozi Mteule wa Kenya hapa nchini Mhe. Isaac Njenga Gatitu mara baada ya kuwasili Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Balozi Mteule wa Kenya hapa nchini Mhe. Isaac Njenga Gatitu mara baada ya mazungumzo yaliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma
                                                                 




 


  PICHA NA IKULU.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.