RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwasili katika viwanja vya Kanisa la
Anglikana Mkunazini Zanzibar kuhudhuria maziko ya Marehemu Askofu Mstafu wa
Kanisa la Anglikana Zanzibar John Ramadhan, yaliyofanyika leo
17-9-2022, katika viwanja vya kanisa hilo Mkunazini Wilaya ya Mjini Unguja
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihudhuria maziko ya Marehemu Askofu
Mstafu wa Kanisa la Anglikana Mkunazini Zanzibar John Ramadhan, yaliofanyika
katika Kanisa la Mkunazini leo 17-9-2022 na (kulia kwa Rais) Waziri wa Nchi
Ofisi ya Rais,Ikulu Mhe. Georg Mkuchika na Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe.Khamis
Ramadhan Shaban
Mwanafamilia wa Marehemu Askofu Mstafu John Ramadhan akisoma wasifu wa marehemu baada ya kumalizika kwa Ibada ya kumuombea iliyofanyika katika Kanisa la Anglikana Mkunazini Jijini Zanzibar leo 17-9-2022 wakati wa maziko yake yaliyofanyika katika viwanja vya Kanisa hilo.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akitowa heshima za mwisho kwa mwili wa
Marehemu Askofu Mstafu wa Kanisa la Anglikana Mkunazini Zanzibar leo 17-9-2022.
Maziko yaliyofanyika katika viwanja vya Kanisa la Anglikana Mkunazini Wilaya ya
Mjini Unguja leo
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiweka mchanga katika kaburi la Marehemu
Askofu Mstafu wa Kanisa la Anglikana Mkunazini Zanzibar John Ramadhan, maziko
hayo yaliyofanyika katika viwanja vya Kanisa la Mkunazini Wilaya ya Mjini
Unguja Jijini Zanzibar leo 17-9-2022
No comments:
Post a Comment