Beki wa Timu ya Jangombe Boys akijaribu kumzuiya mchezaji wa Timu ya Raskazone mchezo uliofanyika katika Uwanja wa Amaan Unguja Jijini Zanzibar Timu ya Raskazone imeshinda mchezo huo kwa bao 1-0.
NORWAY YAIHAKIKISHIA TANZANIA USHIRIKIANO KATIKA SEKTA YA KILIMO
-
Serikali ya Norway imeihakikishia Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania ushirikiano katika sekta za kilimo, usalama wa chakula, nishati,
biashara na ...
5 minutes ago
No comments:
Post a Comment