Habari za Punde

Waziri Mkuu Mhe. Majaliwa Akutana na Kuzungumza na Balozi wa Korea Kusini

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Balozi wa Korea Kusini Nchini Tanzania Mhe.Kim Sun Pyo mazungumzo hayo yaliyofanyika katika  Ofisi Ndogo ya  Waziri Mkuu, Magogoni jijini Dar es salaam,Oktoba 10, 2022.

(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.