Viongozi wa klabu ya waandishi wa habari Pemba, wakiwa katika picha ya pamoja na wanachama wa klabu hiyo, ni baada ya kumaliza Mkutano Mkuu wa mwaka wa klabu hiyo katika kujadili mambo mbali mbali ikiwemo muelekeo wa kabla hiyo pamoja maazimio kumi kutoka Mkutano mkuu wa Muungano wa Klabu za Waandishi wa habari Tanzania (UTPC) uliyofanyika December 24. 2022 katika Ukumbi wa maktaba Chake Chake Pemba. Picha Na, Hassan Msellem-Idawaonline.com Pemba.
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment