Viongozi wa klabu ya waandishi wa habari Pemba, wakiwa katika picha ya pamoja na wanachama wa klabu hiyo, ni baada ya kumaliza Mkutano Mkuu wa mwaka wa klabu hiyo katika kujadili mambo mbali mbali ikiwemo muelekeo wa kabla hiyo pamoja maazimio kumi kutoka Mkutano mkuu wa Muungano wa Klabu za Waandishi wa habari Tanzania (UTPC) uliyofanyika December 24. 2022 katika Ukumbi wa maktaba Chake Chake Pemba. Picha Na, Hassan Msellem-Idawaonline.com Pemba.
WAKULIMA KUNUFAISHWA NA (TBL) KUPITIA MASOKO YA KIKANDA
-
KAMPUNI ya Tanzania(TBL) imedhamiria kuwasaidia wakulima nchini kwa
kutambua uwezo wao wa kulisha watu, viwanda, na biashara katika ukanda huu
kupitia mika...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment