Habari za Punde

TAMASHA LA BONANZA LA MICHEZO PEMBA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akiongoza matembezi wakati wa Tamasha la Bonanza la michezo yaliyo wajumuisha Viongozi mbali mbali na Vikundi vya mazoezi kuanzia Tibirinzi mpaka Uwanja wa Gombani ya kale katika maadhimisho ya miaka 59 ya Mapinduzi ya Zanzibar.[Picha na Ikulu] 01/01/2023.










No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.