Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akiongoza matembezi wakati wa Tamasha la Bonanza la michezo yaliyo wajumuisha Viongozi mbali mbali na Vikundi vya mazoezi kuanzia Tibirinzi mpaka Uwanja wa Gombani ya kale katika maadhimisho ya miaka 59 ya Mapinduzi ya Zanzibar.[Picha na Ikulu] 01/01/2023.
MUDY PESA AMKAMIA MANCHUGA PAMBANO LA KILL BOXING TOUR
-
Na. Khadija Seif, Michuzi TV
Bondia wa Ngumi za Kulipwa nchini, Mudy Pesa maarufu ‘Misumari ya Zege’
amechimba mkwara kuelekea pambano lake la ndondi dhi...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment