Habari za Punde

Uzinduzi wa Baraza la Chuo Cha KIST Zanzibar .

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mh. Lela Mohamed Mussa akizungumza katika hafla ya Uzinduzi wa Baraza la tatu – kipindi cha Pili la Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Karume (KIST), na kuwaaga Wajumbe waliomaliza muda wao, hafla iliyofanyika Ukumbi wa Mkutano wa Dkt. Idrissa Muslim Hija katika Taasisi hiyo Mbweni Zanzibar.

PICHA NA MARYAM KIDIKO- KIST.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.