Habari za Punde

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan akutana na Kuzungumza na Balozi wa Rwanda anayemaliza Muda wake hapa nchini Meja Jenerali Charles Karamba, Ikulu Jijini Dar es Salaam

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika mazungumzo na Balozi wa Rwanda hapa nchini ambaye anamaliza muda wake Meja Jenerali Charles Karamba mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Balozi wa Rwanda hapa nchini ambaye anamaliza muda wake Meja Jenerali Charles Karamba mara baada ya mazungumzo yao Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 28 Aprili, 2023.
PICHA NA IKULU.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.