Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Mwinyi Amezindua Boti Mpya ya Kampuni ya Azam Marine Kilimanjaro VIII "Falcon of the Sea"

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakikabidhi Tiketi ya Boti ya Kilimanjaro VIII "Falcon of the Sea" abiria namba moja wa boti hiyo akikabidhiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Azam Marine Abubakar Azizi Salim, wakati wa hafla ya uzinduzi wa Boti hiyo  uliofanyika katika eneo la Hoteli ya Verde Mtoni Wilaya ya Mjini Jijini Zanzibar.  
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi  akihutubia katika hafla ya Uzinduzi wa Boti Mpya ya Kampuni ya Azam Marine ya Kilimanjaro VIII “Falcon of the Sea” uzinduzi huo uliofanyika katika viwanja vya Hoteli ya Verde Mtoni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar .
WAGENI waalikwa katika hafla ya Uzinduzi wa Boti Mpya ya Kampuni ya Azam Marine ya Kilimanjaro VIII “Falcon of the Sea “ uliyofanyika katika viwanja vya Hoteli ya Verde Mtoni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar 24-4-2023, wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia na kuizindua boti hiyo
BAADHI ya Viongozi wa Kampuni ya Azam Marine na Wageni waalikwa wakifuatilia hutuba ya mgeni rasmin Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia katika hafla ya Uzinduzi wa Boti Mpya ya Kilimanjari VIII “Falcon of the Sea” ya Kampuni ya Azam Marine,uliofanyika katika eneo la  viwanja vya Hotel ya Verde Mtoni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar

WAKUU wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama Zanzibar wakifuatilia hafla ya Uzinduzi wa Boti Mpya ya Kampuni ya  Azam Marine ya Kilimanjaro VIII “Falcon of the Sea” wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia katika uzinduzi huo uliofanyika katika viwanja vya Hoteli ya Verde Mtoni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar 
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi  akiwapungia mkono na kuwasalimia Wananchi katika viwanja vya Hoteli ya Verde Mtoni Wilaya ya Mjini Unguja wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Boti Mpya ya Kampuni ya Azam Marine ya Kilimanjaro VIII “Falcon of the Sea” (kulia kwa Rais) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi  na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Azam Marine Bw. Abubakar Azizi Salim na (kushoto kwa Rais) Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Azam Marine Bw.Mohammed Said Bakhressa

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Azam Marine Bw.Abubakar Azizi Salim akiwa katika chumba cha kuongozea boti hiyo na kupata maelezo ya Kitaalum ya Boti ya Kilimanjaro VIII “Falcon of the Sea” baada ya kuizindua na kutembelea boti hiyo 
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi, akipiga honi kuashiria kuizindua rasmin Boti Mpya ya Kampuni ya Azam Marine ya Kilimanjaro VIII “Falcon of the Sea” , uzinduzi huo uliofanyika leo24-4-2023  katika viwanja vya Hoteli ya Verde Mtoni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakisalimiana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla  baada ya kuwasili katika Bandari ya Malindi Unguja na Boti ya Kilimanjaro VIII “Falcon of the Sea”  baada ya kuizindua Boti hiyo leo katika viwanja vya Hoteli ya Verde Mtoni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakisalimiana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla  baada ya kuwasili katika Bandari ya Malindi Unguja na Boti ya Kilimanjaro VIII “Falcon of the Sea”  baada ya kuizindua Boti hiyo leo katika viwanja vya Hoteli ya Verde Mtoni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar


RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakitoka katika bandari ya Malindi Zanzibar baada ya kuwasili na Boti Mpya ya Kilimanjaro VIII”Falcon of the Sea” wakitokea katika viwanja vya Hoteli ya Verde Mtoni  Wilaya ya Mjini, katika hafla ya Uzinduzi wa Boti hiyo uliofanyika leo 24-4-2023 na (kulia kwa Mama Mariam Mwinyi) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.