Habari za Punde

WAZIRI MKUU ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA KITUO CHA BIASHARA CHA AFRIKA YA MASHARIKI UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya East Africa Commercial and Logistics Centre (EACLC), Dkt. Cathy  Wang (kulia)  kuhusu ujenzi wa Mradi wa Kituo cha Biashara cha Afrika ya Mashariki kinachojengwa  na kampuni ya East  Africa Commercial  and Logistics Centre  eneo la Ubungo jijini Dar es salaam, Aprili 20, 2023. Kushoto ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI, Angellah Kairuki.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiagana na viongozi baada ya kukagua ujenzi wa Mradi wa kituo cha Biashara cha Afrika ya Mashariki kinachojengwa  na kampuni ya East  Africa Commercial  and Logistics Center  eneo la Ubungo jijini Dar es salaam Aprili 20, 2023. Kulia ni  Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Angellah Kairuki. Na kushoto ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es salaam, Abbas Mtemvu
 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.