Rais Mstaafu Mhe. Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Rais Nana Akufo-Addo wa Ghana wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Jukwaa la 7 la Uongozi Afrika (7th Africa Leadership Forum 2023) linalofanyika kuanzia leo tarehe 25 hadi kesho 26 Mei 2023, jijini Accra, Ghana.
Rais Mstaafu Mhe. Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Rais Nana Akufo-Addo wa Ghana wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Jukwaa la 7 la Uongozi Afrika (7th Africa Leadership Forum 2023) linalofanyika kuanzia leo tarehe 25 hadi kesho 26 Mei 2023, jijini Accra, Ghana.
Rais Mstaafu Mhe. Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Rais Nana Akufo-Addo wa Ghana wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Jukwaa la 7 la Uongozi Afrika (7th Africa Leadership Forum 2023) linalofanyika kuanzia leo tarehe 25 hadi kesho 26 Mei 2023, jijini Accra, Ghana.
Rais Mstaafu Mhe. Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Rais Nana Akufo-Addo wa Ghana (kushoto kwake) na Mhe. Wamkele Mene, Katibu Mkuu wa African Continental Free Trade Area (AfCFTA - wa nne toka kulia); katika picha ya pamoja na viongozi wengine Mkutano wa Jukwaa la 7 la Uongozi Afrika (7th Africa Leadership Forum 2023) linalofanyika kuanzia leo tarehe 25 hadi kesho 26 Mei 2023, jijini Accra, Ghana.
Viongozi wengine katika picha ni pamoja na Mhe Jenerali Olusegun Obasanjo Rais Mstaafu wa Nigeria (kulia kwake) Mhe. Mohamed Moncef Marzouki (wa tatu toka kulia), Rais Mstaafu wa Tunisia, Mhe. Goodluck Jonathan Rais Mstaafu wa Nigeria (wa pili kutoka kulia) Mhe. Thomas Bon Yayi, Rais Mstaafu wa Benin (wa tatu toka kushoto) , Mhe. Ernest Bai Koroma, Rais Mstaafu wa Sierra Leone (wa pili toka kushoto), Mhe. Hailemariam Desalegn, Waziri Mkuu Mstaafu wa Ethiopia wa kwanza kulia.
Mkutano huo unaandaliwa kwa ushirikiano wa pamoja kati ya Taasisi ya Uongozi ya Tanzania (Uongozi Institute) na Sekretarieti ya AfCFTA. Mhe. Kikwete ni Mlezi wa Jukwaa la Uongozi Afrika (ALF) akichukua jukumu hilo kutoka kwa aliyekuwa Mlezi mwanzilishi, Hayati Benjamin William Mkapa.
Picha na Ofisi ya Rais Mstaafu
No comments:
Post a Comment