RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akiwasili katika viwanja vya mpira Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja kwa ajili ya
kupokea Maandamano ya Wafanyakazi kuadhimisha Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei
Mosi, yaliyofanyika katika Mkoa wa
Kaskazini Unguja leo1-5-2023 na (kulia kwa kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa
Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi
ya Rais Kazi, Uchumi na Uwekezaji Zanzibar Mhe. Mudrik Ramadhan Soraga
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akipokea maandamano ya Wafanyakazi Kuadhimisha Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei
Mosi yaliyofanyika katika viwanja vya Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja leo
1-5-2023.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akipokea maandamano ya Wafanyakazi Kuadhimisha Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei
Mosi yaliyofanyika katika viwanja vya Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja leo
1-5-2023.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akipokea maandamano ya Wafanyakazi Kuadhimisha Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei
Mosi yaliyofanyika katika viwanja vya Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja leo
1-5-2023.
WAFANYAKAZI
wa PSSSF wakiwa katika Maandamano ya Sherehe za Maadhimisho ya Siku ya
Wafanyakazi Duniani Mei Mosi, wakipita mbele ya mgeni rasmin Rais wa Zanzibar
na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, yaliyofanyika
katika viwanja vya mpira Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja leo 1-5-2023
WAFANYAKAZI
wa Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) wakiwa katika Maandamano ya Sherehe za
Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi, wakipita mbele ya mgeni
rasmin Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi, yaliyofanyika katika viwanja vya mpira Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja
leo 1-5-2023
WAFANYAKAZI
wa TTCL wakiwa katika Maandamano ya Sherehe za Maadhimisho ya Siku ya
Wafanyakazi Duniani Mei Mosi, wakipita mbele ya mgeni rasmin Rais wa Zanzibar
na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, yaliyofanyika
katika viwanja vya mpira Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja leo 1-5-2023
WAFANYAKAZI
wa ZAA wakiwa katika Maandamano ya Sherehe za Maadhimisho ya Siku ya
Wafanyakazi Duniani Mei Mosi, wakipita mbele ya mgeni rasmin Rais wa Zanzibar
na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, yaliyofanyika
katika viwanja vya mpira Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja leo 1-5-2023
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati pichani) pamoja na Viongozi wengine wakiimba wimbo wa mshikamano katika Kilele cha Maadhimisho ya siku ya wafanyakazi Duniani Mei Mosi 2023,sherehe zilizofanyika leo Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akifuatila igizo la mchezo wenye maudhui ya Siku ya Wafanyakati Duniani Mei
Mosi, wakati Kikundi cha Msanii Kirobo wakitowa burudani wakati wa Sherehe za
Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi, zilizofanyika katika
viwanja vya Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja leo 1-5-2023, na (kulia kwa Rais)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Kazi,Uchumi na Uwekezaji Zanzibar Mhe. Mudrik
Ramadhan Soranga na (kushoto kwa Rais) Makamu Mwenyekiti wa ZATUC Bi. Mwanamkuu
Gharib Mgeni
WASANII
wa Kikundi cha Kirobo wakitowa burudani wakati wa Maadhimisho ya Sherehe za
Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi, zilizofanyika katika viwanja vya Nungwi
Mkoa wa Kaskazini Unguja leo 1-5-2023
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akisalimiana na Msanii wa Kikundi cha Kirobo, Ndg.Raudha Kirobo Yussuf ,baada
ya kumaliza kutowa burudani, wakati wa Maadhimisho ya Sherehe za Siku ya
Wafanyakazi Duniani Mei Mosi, zilizofanyika katika Mkoa wa Kaskazini Unguja leo
1-5-2023
KAIMU
Katibu Mkuu wa ZATUC Ndg. Ali Salum akiwasilisha Salamu za Wafanyakazi wa
Zanzibar wakati wa Maadhimisho ya Sherehe za Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei
Mosi, zilizofanyika katika viwanja vya Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja leo
1-5-2023
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akihutubia katika Sherehe za Maadhimishi ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei
Mosi, katika viwanja vya Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja leo 1-5-2023
BAADHI
ya Mawaziri wa SMZ wakishangilia wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia
katika Maadhimisho ya Sherehe ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi,
zilizofanyika katika viwanja Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja leo 1-5-2023
WAFANYAKAZI
wa Taasisi na Wizara mbalimbali wakishangili
wakati mgeni rasmin Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika sherehe za Maadhimisho ya
Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi zilizoadhimishwa Mkoa wa Kaskazini Unguja
leo 1-5-2023
WAFANYAKAZI
wa Taasisi mbalimbali wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika Sherehe za Maadhimisho ya
Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi, katika viwanja vya Nungwi Mkoa wa
Kaskazini Unguja leo 1-5-2023
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi Zawadi ya Mfanyakazi Bora Ndg. Mkubwa Yahya Mohamed Ofisi ya Rais Ikulu Chama cha ZUPHE katika maadhimisho ya siku ya wafanyakazi Mei Mosi 2023, sherehe zilizofanyika leo Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja(kushoto) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Kazi,Uchumi na Uwekezaji Mhe.Mudrik Ramadhan Soraga
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi Zawadi ya Mfanyakazi Bora Ndg. Taifa Said Ahmed Mwalimu Mkuu ya Msingi ya Skuli ya Turky Mpendae kwa Bint Hamrani Wilaya ya Mjiji Unguja watika maadhimisho ya siku ya wafanyakazi Duniani Mei Mosi 2023, zilizofanyika leo Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja(kushoto) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Kazi,Uchumi na Uwekezaji Mhe.Mudrik Ramadhan Soraga
No comments:
Post a Comment