Habari za Punde

Makamu Mwenyekiti ACT atembelea wagonjwa na kufanya Mkutano a Hadhara Mkwajuni

Makamu Mwewnyekiti wa ACT ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Othman Masoud Othman akiifariji familia ya bwana Mohammed Ali wa Donge Muwanda Kaskazini A aliyefiwa na watoto watatu hivi karibuni baada ya kuzama kwenye mashimo ya maji huko kijiji Donge .  Mhe. alifika kijiji hapo leo Julai 16.2023. Kulia kwa makamu ni Mkuu wa Wilaya hiyo Sadifa Juma Khamis (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais).

MAKAMU mwenyekiti wa ACT Zanzibar Mhe. Othman Masoud Othman akizungunza katika mkutano wa hadhara wa chama hicho uliofanyika huko viwanja vya Skuli ya Mkwajuni Kaskazini A UNGUJA leo tarehe 16.07.23 (picha na Ofisi ya Makamu wa  kwanza wa Rais 

Makamu Mwenyekiti wa chama cha ACT Wazalendo Mhe. Othman Masoud Othman akimjulia hali mzee wa chama hicho  Mauld Machano Adib  wakati Mhe. Othman alipofika nyumbani kwa mzee huyo huko Nungwi leo tarehe 16.07.2023 akiwa katika ziara  yake ya kuwajulia hali wagonjwa na kuwafariji waliofikwa na msiba. Kulia ni  Mke wa Mhe. Othman Mama Zainab Kombo Shaib. (Picha na Ofisi ya Rais

Wafuasi wa Chama cha ACT Wazalendo wakimsikiliza Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho alipokuwa akihutubia Mkutano wa hadhara huko katika viwanja vya Skuli ya Mkwajuni Kaskazini A Unguja leo tarehe 16.07.2023. Picha na Ofisi ya Makamu wa kwanza wa Rais.

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.