RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakisalimiana na Balozi wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Nchini China Mhe. Mbelwa Kairuki alipowasili Uwanja wa
Ndege wa Kimataifa wa Baiyun Guangzhou China kwa ajili ya ziara yake yake ya
Kikazi Nchini China (kushoto kwa Balozi) Naibu Mkurugenzi Mkuu Ofisi ya Mambo
ya Nje Guangdong.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi alipowasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa
Baiyun Guangzhou Nchini China akielekea katika chumba cha mapumziko VIP kwa wageni mashaghuri katika uwanja huo
(kulia kwa Rais) Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Nchini China Mhe.
Mbelwa Kairuki na (kushoto kwa Rais) Naibu Mkurugenzi Mkuu Ofisi ya Mambo ya
Nje Guangdong Mr. Luo.Jun
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi, akizungumza na Naibu Mkurugenzi Mkuu wa
Ofisi ya Mambo ya Nje wa Guangdong China Bw.Luo Jun(kushoto kwa Rais) wakati
alipowasili katika Uwanja wa Kimataifa wa Baiyun Guangzhou China, kwa ajili ya
ziara yake ya Kikazi Nchini China.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akisalimiana na Viongozi wa Silent Ocean China Ndg. Ebrahim Rashid na Salah
Said Omar alipowasili katika viwanja vya Kampuni ya Usafirishaji ya Silent
Ocean China, kwa ajili ya Ufunguzi wa Ofisi za Kampuni hiyo zilizopo eneo la
Foshan Guangzhou China, uzinduzi huo uliyofanyika leo 28-6-2023.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi, wakisaini bango la Kampuni ya Usafirishaji Mizigo ya Silent Ocean China, kabla ya kuzifungua Ofisi hizo zilizopo katika eneo la Foshan Guangzhou China, akiwa katika ziara yake Nchini China leo 28-6-2023
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mkewe Mama Mariam Mwinyi, akisaini bango la Kampuni ya Usafirishaji Mizigo ya Silent Ocean China, kabla ya kuzifungua Ofisi hizo zilizopo katika eneo la Foshan Guangzhou China, akiwa katika ziara yake Nchini China leo 28-6-2023
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Viongozi mbalimbali wa Serikali na wa Kampuni ya Silent Ocean China, wakatin ukupigwa wimbo wa Taifa wa Tanzania na China katika hafla ya ufunguzi wa Ofisi za Kampuni ya kusafirisha mizigo, uzinduzi huo uliofanyika katika eneo Foshan Guangzhou China, wakati akiendelea na ziara yake Nchini China leo 28-6-2023
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Viongozi mbalimbali wa Serikali na wa Kampuni ya Silent Ocean China, wakatin ukupigwa wimbo wa Taifa wa Tanzania na China katika hafla ya ufunguzi wa Ofisi za Kampuni ya kusafirisha mizigo, uzinduzi huo uliofanyika katika eneo Foshan Guangzhou China, wakati akiendelea na ziara yake Nchini China leo 28-6-2023
MKURUGENZI Mkuu Mtendaji wa Kampuni ya Silent Ocean Salaha Said Mohammed akizungumza na kutowa maelezo ya kampuni yake ya usafirishaji wa mizigo kutoka Nchini China, wakati wa hafla ya ufunguzi wa Ofisi za Kampuni hiyo Nchini China hiyo iliyofanyika katika eneo la Foshan Guangzhou China leo 28-6-2023
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza wakati wa ufunguzi wa Ofisi za Kampuni ya usafirishaji wa mizigo ya Silent Ocean China, hafla hiyo iliyofanyika katika eneo la mtaa wa Foshan Guangzhou China uliyofanyika leo 28-6-2023.
MAWAZIRI wa SMZ na SMT wa Biashara wa kwanza Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar Mhe. Omar Said Shaban na Waziri wa Biashara na Viwanda Tanzania Mhe. Ashatu Kijaji,wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia wakati wa hafla ya Ufunguzi wa Ofisi za Kampuni ya Usafirishaji mizigo ya Silent Ocean China, wakati wa ufunguzi huo uliyofanyika leo 28-6-2023.
BAADHI ya Wageni waalikwa na Viongozi wa Serikali wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia katika hafla ya ufunguzi wa ofisi za Kampuni ya Silent Ocean China, uzinduzi huo uliofanyika katika eneo la Foshan Guangzhou China, wakati akiendelea na ziara yake leo 28-6-2023.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi, wakisaini bango la Kampuni ya Usafirishaji Mizigo ya Silent Ocean China, kabla ya kuzifungua Ofisi hizo zilizopo katika eneo la Foshan Guangzhou China, akiwa katika ziara yake Nchini China leo 28-6-2023
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mkewe Mama Mariam Mwinyi, akisaini bango la Kampuni ya Usafirishaji Mizigo ya Silent Ocean China, kabla ya kuzifungua Ofisi hizo zilizopo katika eneo la Foshan Guangzhou China, akiwa katika ziara yake Nchini China leo 28-6-2023
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Viongozi mbalimbali wa Serikali na wa Kampuni ya Silent Ocean China, wakatin ukupigwa wimbo wa Taifa wa Tanzania na China katika hafla ya ufunguzi wa Ofisi za Kampuni ya kusafirisha mizigo, uzinduzi huo uliofanyika katika eneo Foshan Guangzhou China, wakati akiendelea na ziara yake Nchini China leo 28-6-2023
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Viongozi mbalimbali wa Serikali na wa Kampuni ya Silent Ocean China, wakatin ukupigwa wimbo wa Taifa wa Tanzania na China katika hafla ya ufunguzi wa Ofisi za Kampuni ya kusafirisha mizigo, uzinduzi huo uliofanyika katika eneo Foshan Guangzhou China, wakati akiendelea na ziara yake Nchini China leo 28-6-2023
MKURUGENZI Mkuu Mtendaji wa Kampuni ya Silent Ocean Salaha Said Mohammed akizungumza na kutowa maelezo ya kampuni yake ya usafirishaji wa mizigo kutoka Nchini China, wakati wa hafla ya ufunguzi wa Ofisi za Kampuni hiyo Nchini China hiyo iliyofanyika katika eneo la Foshan Guangzhou China leo 28-6-2023
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza wakati wa ufunguzi wa Ofisi za Kampuni ya usafirishaji wa mizigo ya Silent Ocean China, hafla hiyo iliyofanyika katika eneo la mtaa wa Foshan Guangzhou China uliyofanyika leo 28-6-2023.
MAWAZIRI wa SMZ na SMT wa Biashara wa kwanza Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar Mhe. Omar Said Shaban na Waziri wa Biashara na Viwanda Tanzania Mhe. Ashatu Kijaji,wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia wakati wa hafla ya Ufunguzi wa Ofisi za Kampuni ya Usafirishaji mizigo ya Silent Ocean China, wakati wa ufunguzi huo uliyofanyika leo 28-6-2023.
BAADHI ya Wageni waalikwa na Viongozi wa Serikali wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia katika hafla ya ufunguzi wa ofisi za Kampuni ya Silent Ocean China, uzinduzi huo uliofanyika katika eneo la Foshan Guangzhou China, wakati akiendelea na ziara yake leo 28-6-2023.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi, akiondoa pazia kuashiria kuifungua Ofisi ya
Usafirishaji wa Mizigo ya Silent Ocean China
iliyoko katika eneo Foshan Guangzhou China na Mkurugenzi Mkuu Mtendaji
wa Kampuni hiyo Ndg.Salaha Said
Mohammed, hafla hiyo ya ufunguzi iliyofanyika leo 28-6-2023.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi, akiondoa pazia kuashiria kuifungua Ofisi ya
Usafirishaji wa Mizigo ya Silent Ocean China
iliyoko katika eneo Foshan Guangzhou China na Mkurugenzi Mkuu Mtendaji
wa Kampuni hiyo Ndg.Salaha Said
Mohammed, hafla hiyo ya ufunguzi iliyofanyika leo 28-6-2023.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi, akikata utepe kuashiria kufungua Ofisi za Kampuni ya Usafirishaji wa Mizigo kutoka Nchini China ya Silent Ocean, hafla hiyo iliyofanyika katika eneo la mtaa wa Foshan Guangzhou China leo 28-6-2023.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakimsikiliza CEO wa Kampuni ya Selint Ocean China Ndg.Ebrahim Rashid, akizungumza wakati wa kutembelea Ofisi hizo baada ya kuzifungua leo 28-6-2023, na (kulia kwa Rais) Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa Silent Ocean Ndg. Salaha Said Mohammed Waziri wa Biashara na Viwanda Tanzania Mhe. Ashatu Kijaji na Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar Mhe. Omar Said Shaban, akiwa Nchini China akiendelea na ziara yake Nchini humo.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakitembelea Ofisi za Kampuni ya usafirishaji wa mizigo kutoka Nchini China ya Silent Ocean China, baada ya kuifungua Ofisi hiyo leo 28-6-2023, akiendelea na ziara yake Nchini China na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Biashara na Viwanda Tanzania Mhe.Ashatu Kijaji, wakipata maelezo ya ofisi hiyo kutoka kwa CEO wa Silent Ocean China Ndg. Ebrahim Rashid.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Mhe. Han Zheng alipowasili katika
ukumbi wa mkutano wa Complex Building Hunan China, wakati akiendelea na ziara yake Nchini huo leo 28/6/2023
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Mhe.Han Zheng, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliofanyika katika ukumbi wa Complex Building Hunan China leo 28-6-2023.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiongoza Ujumbe wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika mkutano wake na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Mhe.Han Zheng, uliofanyika katika ukumbi wa jengo la Complex Building Hunan China leo 28-6-2023.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiongoza Ujumbe wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika mazungumzo yake na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China.Mhe. Han Zheng, uliofanyika katika ukumbi wa Jengo la Complex Building Hunan China na (kushoto kwa Rais) Waziri Biashara na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar Mhe. Omar Said Shaban na (kulia kwa Rais) Waziri wa Biashara na Viwanda Tanzania Mhe.Ashatu Kijaji.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Mhe.Han Zheng, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliofanyika katika ukumbi wa Complex Building Hunan China leo 28-6-2023.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiongoza Ujumbe wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika mkutano wake na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Mhe.Han Zheng, uliofanyika katika ukumbi wa jengo la Complex Building Hunan China leo 28-6-2023.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiongoza Ujumbe wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika mazungumzo yake na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China.Mhe. Han Zheng, uliofanyika katika ukumbi wa Jengo la Complex Building Hunan China na (kushoto kwa Rais) Waziri Biashara na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar Mhe. Omar Said Shaban na (kulia kwa Rais) Waziri wa Biashara na Viwanda Tanzania Mhe.Ashatu Kijaji.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akiwasili katika viwanja vya ukumbi wa Mkutano wa Xiangjiang Jiji la Changsha
Jimbo la Hunan China kuhudhuria ufunguzi
wa Mkutano wa Tatu wa Ushirikiano wa Biashara Kati ya China Afrika
uliofanyika katika ukumbi huo leo 29-6-2023
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzin Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakielekea katika ukumbi wa mkutano wa Xiangjiang
kuhudhuria ufunguzi wa Mkutano wa Tatu wa Ushirikiani wa Biashara Kati China na
Afrika, uliofunguliwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Mhe.Han
Zheng leo 29-6-2023, akiwa katika ziara yake Nchini China.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akihutubia katika ufunguzi wa Mkutano wa Tatu wa Ushirikiano wa Biashara Kati
ya China na Afrika uliofanyika leo 29-6-2023 katika ukumbi wa Xiangjiang Jimbo
la Hunan China.
MKE
wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akiwa na Viongozi wa Serikali (kulia
kwake) Waziri wa Biashara na Viwanda Tanzania Mhe.Ashatu Kijaji, Waziri wa
Biashara na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar Mhe. Omar Said Shaban na Naibu Waziri
wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Tanzania Mhe. Balozi Mbarouk
Nassor Mbarouk, wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza
la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia katika
mkutano huo wa ufunguzi wa Mkutano wa Tatu wa Ushirikiano wa Biashara Kati ya
China na Tanzania uliofanyika katika ukumbi wa Xiangjiang Jimbo la Hunan China
leo 29-6-2023.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi, Waziri wa Biashara na Viwanda Tanzania
Mhe.Ashatu Kijaji na Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar
Mhe.Omar Said Shaban, wakielekea katika maonesho ya Ushirikiano wa Biashara
Kati ya China na Afrika, baada ya ufunguzi wa maonesho hayo uliofanyika leo
29-6-2023 katika ukumbi wa Xiangjiang Jimbo la Hunan China.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakitembelea Banda la Maonesho la Tanzania, katika maonesho ya Ushirikiano wa Biashara Kati ya China na Afrika, yaliyofunguliwa leo 29-6-2023 na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Mhe. Han Zheng, katika ukumbi wa Xiangjiang Jimbo la Hunan China.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakitembelea Banda la Maonesho la Tanzania, katika maonesho ya Ushirikiano wa Biashara Kati ya China na Afrika, yaliyofunguliwa leo 29-6-2023 na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Mhe. Han Zheng, katika ukumbi wa Xiangjiang Jimbo la Hunan China.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakitembelea Banda la Maonesho la Tanzania, katika maonesho ya Ushirikiano wa Biashara Kati ya China na Afrika, yaliyofunguliwa leo 29-6-2023 na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Mhe. Han Zheng, katika ukumbi wa Xiangjiang Jimbo la Hunan China.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakitembelea Banda la Maonesho la Tanzania,
katika maonesho ya Ushirikiano wa Biashara Kati ya China na Afrika,
yaliyofunguliwa leo 29-6-2023 na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China
Mhe. Han Zheng, katika ukumbi wa Xiangjiang Jimbo la Hunan China.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakitembelea moja ya banda la Maonesho la
Kampuni ya China, baada ya ufunguzi wa Mkutano wa Tatu wa Ushirikiano wa
Biashara Kati ya China na Afrika, uliofunguliwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Watu wa China Mhe. Han Zheng leo 29-6-2023 katika ukumbi wa Xiangjiang Jimbo la
Hunan ChinaRAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakitembelea moja ya banda la Maonesho la
Kampuni ya China, baada ya ufunguzi wa Mkutano wa Tatu wa Ushirikiano wa
Biashara Kati ya China na Afrika, uliofunguliwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Watu wa China Mhe. Han Zheng leo 29-6-2023 katika ukumbi wa Xiangjiang Jimbo la
Hunan China


No comments:
Post a Comment