Habari za Punde

Waziri Simai ashiriki Mkutano wa 45 wa Kamati ya Urithi wa Dunia nchini Saudi Arabia

Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar Mhe. Simai Mohammed Said, akiongoza ujumbe wa Tanzania huko nchini Saudi Arabia katika Mkutano wa 45 wa Kamati ya Urithi wa Dunia.
Mkutano huo umeanza jana tarehe 10/09/2023 na unatarajiwa kuendelea hadi tarehe 25/09/2023

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.