RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Balozi wa Tanzania Nchini
Uganda Mhe.Meja Jenerali Paul Kisesa Simuli, alipofika Ikulu Jijini Zanzibar
kwa mazungumzo na kujitambulisha, mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi
wa Ikulu Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika mazungumzo na mgeni wake Balozi
wa Tanzania Nchini Uganda Mhe.Meja Jenerali Paul Kisesa Simuli, alipofika Ikulu
Jijini Zanzibar kwa mazungumzo na kujitambulia akielekea Kituo chake cha kazi,
mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika mazungumzo na mgeni wake Balozi
wa Tanzania Nchini Uganda Mhe.Meja Jenerali Paul Kisesa Simuli, alipofika Ikulu
Jijini Zanzibar leo 28-12-2023 kwa
mazungumzo na kujitambulia akielekea Kituo chake cha kazi, na (kushoto kwa Rais) Katibu wa Baraza la
Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said,mazungumzo hayo
yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar
No comments:
Post a Comment