Meneja wa Shirika la Bima la Taifa Tanzania (NIC ) Kanda ya Zanzibar Ndg. Khamis Msami akimkabidhi zawadi ya fedha tasilim mchezaji Bora wa Mchezo wa Kombe la Mapinduzi Cup kutoka Timu ya APR.FC Niyibizi Ramadhan kwa kuchaguliwa na jopo la Makocha katika Mchezo huo wa Kombe la Mapinduzi Cup dhidi ya Timu ya JKU mchezo uliofanyikav Uwanja Amaan Complex Zanzibar leo 2-1-2024.Timu ya APR .FC. imeshinda mchezo huo kwa bao 3-1.
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment