Meneja wa Shirika la Bima la Taifa Tanzania (NIC ) Kanda ya Zanzibar Ndg. Khamis Msami akimkabidhi zawadi ya fedha tasilim mchezaji Bora wa Mchezo wa Kombe la Mapinduzi Cup kutoka Timu ya APR.FC Niyibizi Ramadhan kwa kuchaguliwa na jopo la Makocha katika Mchezo huo wa Kombe la Mapinduzi Cup dhidi ya Timu ya JKU mchezo uliofanyikav Uwanja Amaan Complex Zanzibar leo 2-1-2024.Timu ya APR .FC. imeshinda mchezo huo kwa bao 3-1.
MUFTI MKUU TANZANIA KUJA NA ZIARA YA KUIMARISHA UONGOZI MKOA WA DODOMA
-
Mufti Mkuu Sheikh Abubakar Zubeir amesema Baraza limepanga kufanya ziara
rasmi mkoani Dodoma, ikiwa ni sehemu ya mpango wa kutembelea mikoa yote 26
nc...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment