Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango amewasili katika Viwanja
vya Karimjee Jijini Dar es salaam ambapo anawaongoza Viongozi na Wananchi katika kutoa heshima za
mwisho kwa Waziri Mkuu Mstaafu Hayati
Edward Ngoyai Lowassa. Tarehe 13 Februari 2024.
UDOM Yabuni Mashine ya Kisasa ya Kuuza Vinywaji Baridi Inayojiendesha
-
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM
Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), kupitia Ndaki ya Sayansi za Kompyuta na Elimu
Angavu, kimebuni mashine ya kisasa ya kuuza ...
32 minutes ago
No comments:
Post a Comment