Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango amewasili katika Viwanja
vya Karimjee Jijini Dar es salaam ambapo anawaongoza Viongozi na Wananchi katika kutoa heshima za
mwisho kwa Waziri Mkuu Mstaafu Hayati
Edward Ngoyai Lowassa. Tarehe 13 Februari 2024.
MAWAKALA WA MILKI NCHINI WATAKIWA KUJISAJILI
-
Na Munir Shemweta, WANMM ARUSHA
Mawakala wa Milki nchini wametakiwa kujisajili katika mfumo wa Wizara ya
Ardhi ili kuingia kwenye mfumo rasmi utakao...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment