RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimpa mkono wa pole Waziri wa Mambo ya
Ndani ya Nchi Mhe. Hamad Masaudi Yussuf, kwa kufiwa na Baba yake Mzazi Mzee
Masuani Yussuf Masauni, alipofika nyumbani kwa Marehemu Migombani Wilaya ya
Mjini Unguja kutowa mkono wa pole kwa familia leo 24-2-2024
RAIS wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akizungumza na kutowa mkono wa pole kwa Familia ya Marehemu Masauni Yussuf
Masauni Baba Mzazi wa Waziri wa Mbambo ya Ndani ya Nchi Mhe.Hamad Masauni
Yussuf, alipofika nyumbani kwa marehemu Migombani Wilaya ya Mjini Unguja Jijini
Zanzibar leo 24-2-2024
RAIS wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akizungumza na kutowa mkono wa pole kwa Familia ya Marehemu Masauni Yussuf
Masauni Baba Mzazi wa Waziri wa Mbambo ya Ndani ya Nchi Mhe.Hamad Masauni
Yussuf, alipofika nyumbani kwa marehemu Migombani Wilaya ya Mjini Unguja Jijini
Zanzibar leo 24-2-2024
No comments:
Post a Comment