Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi , Mhandisi Hamadi Masauni, bungeni jijini Dodoma, Mei 10, 2024. Katikati ni Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhandisi Maryprisca Mahundi. (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)
JITOKEZENI KUJIANDIKISHA - DC MPOGOLO.
-
MKUU wa wilaya ya Ilala, mkoani Dar es salaam, Edward Mpogolo ameshiriki
zoezi la kujiandikisha katika maboresho ya Daftari la kudumu la mpiga kura ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment