Balozi wa Umoja wa Ulaya,anaewakilisha umoja huo hapa nchini, Christine Grau (kulia) akizungumza na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Ally Senga Gugu juu ya masuala mbalimbali yanayohusu ushirikiano katika masuala ya kudhibiti uhalifu.Kikao hicho kimefanyika Makao Makuu ndogo ya wizara jijini Dar es Salaam.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
MKURUGENZI MOSHI ATOKWA MACHOZI, CCM NA CHADEMA WAKIMPA ZAWADI .
-
Mkurugenzi wa Halmashauriya Manispaa ya Moshi Mwajuma NAsombe akizungumza
wakati wa kikao cha mwisho cha Bajeti cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri
.
...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment