Habari za Punde

Polisi wamemkamata Boni Yai akituhumiwa kwa makosa ya kijinai


 

                                                                                    18/09/2024

 

 

TAARIFA KWA UMMA

 

Jeshi la Polisi limemkamata na lina mshikilia Boniface Jacob mkazi wa Mbezi kwa Msakuzi Jijini Dar es Salaam kutokana na makosa ya kijinai anayotuhumiwa nayo.

 

Hivyo, wananchi wapuuze uwongo unaosambazwa mitandaoni kuwa ametekwa.

 

 

Imetolewa na:                                                             

David A. Misime - DCP

Msemaji wa Jeshi la Polisi

Makao Makuu ya Polisi

Dodoma,Tanzania

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.