Habari za Punde


Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhajj Hemed Suleiman Abdulla amejumuika na Viongozi wa Serikali, Dini na Wananchi katika Swala na Maiti kumsalia aliyekuwa Katibu wa Makamu wa Pili wa Rais Mstaafu, Marehemu  Abdalla Ali Abdalla ( KITOLE ) iliyofanyika katika Masjid Nnabawy Mombasa  baada ya Sala ya Ijumaa na kuzikwa kijijini kwao Uzini Wilaya ya Kati, Mkoa wa Kusini Unguja.

Inna lilah wainna ilayhi rajiun.

Imetolewa na Kitengo cha Habari (OMPR).

Tarehe 06.12.2024

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.