RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisoma Jarida la Mizani ya Haki za
Mahkama, wakati wa hafla ya Kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Sheria Zanzibar,
zilizofanyika katika viwanja vya Mahkama ya Mkoa Mazizini Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 10-2-2025
na (kushoto kwa Rais) Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe.Khamis Ramadhan Abdalla

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akionesha Ripoti ya Utendaji Kazi wa
Mahkama Zanzibar kwa Mwaka 2024,baada ya kuizindua leo 10-2-2025 na (kushoto
kwa Rais) Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Khamis Ramadhan Abdalla, watika wa Kilele
cha Maadhimisho ya Wiki ya Sheria Zanzibar, zilizofanyika katika viwanja vya
Mahkama ya Mkoa Mazizini Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi Kitabu cha Muongozo wa
Urejeshaji Mali kwa Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Jaji Mkuu wa Zanzibar
Mhe. Khamis Ramadhan Abdalla, baada ya kukizindua leo 10-2-2025, katika Kilele
cha Maadhimisho ya Wiki ya Sheria Zanzibar, zilizofanyika katika viwanja vya
Mahkama ya Mkoa Mazizini Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika Kilele cha Maadhimisho ya
Wiki ya Sheria Zanzibar, zilizoadhimishwa katika viwanja vya Mahkama ya Mkoa
Mazizini Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar leo 10-2-2025.

MAJAJI wa Mahkama Kuu Zanzibar wakifuatilia
hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein
Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia katika Kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya
Sheria Zanzibar, zilizofanyika katika viwanja vya Mahkama ya Mkoa Mazizini
Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzbar leo 10-2-2025

BAADHI ya Wafanyakazi wa Mahkama Zanzibar,Wageni
waalikwa na Wananchi wakifuatilia hutuba
ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia katika hafla ya Kilele cha Maadhimisho ya
Wiki ya Sheria Zanzibar, iliyofanyika katika viwanja vya Mahkama ya Mkoa
Mazizini Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 10-2-2025.
BAADHI ya Wafanyakazi wa Mahkama Zanzibar,Wageni
waalikwa na Wananchi wakifuatilia hutuba
ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia katika hafla ya Kilele cha Maadhimisho ya
Wiki ya Sheria Zanzibar, iliyofanyika katika viwanja vya Mahkama ya Mkoa
Mazizini Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 10-2-2025.
BAADHI ya Wafanyakazi wa Mahkama Zanzibar,Wageni
waalikwa na Wananchi wakifuatilia hutuba
ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia katika hafla ya Kilele cha Maadhimisho ya
Wiki ya Sheria Zanzibar, iliyofanyika katika viwanja vya Mahkama ya Mkoa
Mazizini Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 10-2-2025.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiagana na Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Prof. Ibrahimu Hamis Juma, baada ya kumalizika kwa hafla ya Kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Sheria Zanzibar, zilizoadhimishwa katika viwanja vya Mahkama ya Mkoa Mazizini Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar leo 10-2-2025 na (kushoto kwa Rais) Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe.Khamis Ramadhan Abdalla.
No comments:
Post a Comment