Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi Ajumuika na Wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Katika Futari Aliyowaandalia Ukumbi wa Chuo cha Amali Mkokotoni Unguja

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi msaada wa Futari Mwananchi wa Kijiji cha Kitope Mkoa wa Kaskazini Unguja, Khamis Hassan Makame, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kaskazini Unguja Mkokotoni jana 14-3-2025, na kujumuika na Wananchi wa Mkoa huo katika futari maalumu aliyowaandalia katika ukumbi wa Chuo cha Amali Mkokotoni
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi msaada wa Futari Mwananchi wa Kijiji cha Chutama, Muhammed Haji Ngwali,hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kaskazini Unguja Mkokotoni jana 14-3-2025, na kujumuika na Wananchi wa Mkoa huo katika futari maalumu aliyowaandalia katika ukumbi wa Chuo cha Amali Mkokotoni
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kuwasalimia Wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Unguja, baada ya kumalizika kwa hafla ya futari aliyowaandalia Mwananchi wa Mkoa wa huo iliyofanyika katika ukumbi wa Chuo cha Amali Mkokotoni jana 14-3-2025
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kuwasalimia Wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Unguja, baada ya kumalizika kwa hafla ya futari aliyowaandalia Mwananchi wa Mkoa wa huo iliyofanyika katika ukumbi wa Chuo cha Amali Mkokotoni jana 14-3-2025
WANANCHI wa Mkoa wa Kaskazini Unguja wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akizungumza na kuwasalimia baada ya kumalizika kwa hafla ya futari maalumu aliyowaandalia katika ukumbi wa Chuo cha Amali Mkokotoni jana 14-3-2025.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa zawadi na Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe.Mattar Zahor  Masoud, zilizotolewa na Wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Unguja, baada ya kumalizika kwa hafla ya futari maalumu aliyowandalia Wananchi wa Mkoa huo iliyofanyika katika ukumbi wa Chuo cha Amali Mkokotoni Unguja jana 14-3-2025.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.