Habari za Punde

WATOTO WA SKULI WAKIVUSHWA BARABARA.

ASKARI wa Usalama Barabarani akiwakatisha njia watoto wa Skuli ya Chekechea ya Kidutani wakitoka skuli kurudi nyumbani katika barabara ya Haile jana ili kuepusha usumbufu wanaoupata watoto kushindwa kuvuka barabara. 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.