ASKARI wa Usalama Barabarani akiwakatisha njia watoto wa Skuli ya Chekechea ya Kidutani wakitoka skuli kurudi nyumbani katika barabara ya Haile jana ili kuepusha usumbufu wanaoupata watoto kushindwa kuvuka barabara.
MAKAMU WA RAIS AFANYA MAZUNGUMZO NA WATUMISHI WA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI
ITALIA
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango
akisalimiana na Watumishi mbalimbali wa Balozi wa Tanzania nchini Italia
wakati...
16 hours ago
No comments:
Post a Comment