Ukuta unaozuiya maji ya bahari katika ufukwe wa pwani ya Malindi Funguni ukiwa katika hali ya kumomonyoka na maji ya bahari na hatimaye kubomoka kama unavyoonekana picha na juu yake kukiwa na ukingo wa mabati ndani yake kukiwa na ujenzi , hali ya ukingo huo ukiendelea kuharibiwa na maji ya bahari.
REA YASAMBAZA MITUNGI NA MAJIKO YA GESI KWA WATUMISHI WA GEREZA LA UKONGA
DAR ES SALAAM
-
-REA kuendela kuwajengea uwezo Magereza uendelezaji Miradi ya Nishati Safi
-Mhe. Balozi Radhia Msuya amewahamasisha Maafisa na Watumishi wa Magereza
kuwa M...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment