Ukuta unaozuiya maji ya bahari katika ufukwe wa pwani ya Malindi Funguni ukiwa katika hali ya kumomonyoka na maji ya bahari na hatimaye kubomoka kama unavyoonekana picha na juu yake kukiwa na ukingo wa mabati ndani yake kukiwa na ujenzi , hali ya ukingo huo ukiendelea kuharibiwa na maji ya bahari.
Naibu Waziri Chumi ashiriki sherehe za kuadhimisha Miaka 80 ya Uhuru wa
Vietnam
-
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe.
Cosato Chumi, amemwakilisha Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika
Mashariki...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment