Ukuta unaozuiya maji ya bahari katika ufukwe wa pwani ya Malindi Funguni ukiwa katika hali ya kumomonyoka na maji ya bahari na hatimaye kubomoka kama unavyoonekana picha na juu yake kukiwa na ukingo wa mabati ndani yake kukiwa na ujenzi , hali ya ukingo huo ukiendelea kuharibiwa na maji ya bahari.
CCM BADO TUPO SANA ,TUNAYO AJENDA YA KUDUMU KUWATUMIKIA WATANZANIA-WASIRA
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Geita
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Stephen Wasira ameeleza
Chama hicho ni cha kudumu kwasababu kimekabidhiwa ...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment