Ukuta unaozuiya maji ya bahari katika ufukwe wa pwani ya Malindi Funguni ukiwa katika hali ya kumomonyoka na maji ya bahari na hatimaye kubomoka kama unavyoonekana picha na juu yake kukiwa na ukingo wa mabati ndani yake kukiwa na ujenzi , hali ya ukingo huo ukiendelea kuharibiwa na maji ya bahari.
MAJALIWA AWASILI SHELISHELI KUMWAKILISHA RAIS DKT. SAMIA UAPISHO WA RAIS
MTEULE DKT. PATRICK
-
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Oktoba 26, 2025 amewasili Seychelles kwa
ajili ya kumwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye uapisho wa Rais
mteule ...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment