Habari za Punde

LATEST UPDATES : TIMU YA WAOKOAJI KUTOKA AFRIKA KUSINI KUWASILI WAKATI WOWOTE

Timu ya Wanajeshi wa baharini kutoka Afrika Kusini (South African Marines) wanawasili saa 12.00 za jioni na moja kwa moja wataelekea sehemu ya tukio kuanza kazi ya kuzamia na kufuatilia kama kuna maiti au mili yeyote iliyobakia ndani ya meli sehemu iliyozama.

Baadaye kidogo tutawatumia picha za kuwasili kwao. Tupo Uwanjani tunawasubiri

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.