MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Maji Zanzibar (ZAWA) Dk.Mustafa A.Garu kulia,akibadilishana hati za utekelezaji wa Mradi wa Maji safi katika kisiwa cha Pemba na mwakilishi wa Kampuni ya Sino Hydro Cooperation ya China Qin Chao baada ya kutiliana saini mradi huo katika hoteli ya Bwawani jana,nyuma yao ni wajumbe wa bodi ya Mamlaka hiyo,(Picha na Abdallah Masangu).
TUGHE yapongeza kiwango cha utendaji kazi cha PURA kwa mwaka 2024/25
-
Naibu Katibu Mkuu TUGHE Taifa, Ndg. Amani Msuya ameeleza kuvutiwa na
kiwango cha utendaji kazi wa Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli
(PURA) kwa m...
4 hours ago

No comments:
Post a Comment