MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Maji Zanzibar (ZAWA) Dk.Mustafa A.Garu kulia,akibadilishana hati za utekelezaji wa Mradi wa Maji safi katika kisiwa cha Pemba na mwakilishi wa Kampuni ya Sino Hydro Cooperation ya China Qin Chao baada ya kutiliana saini mradi huo katika hoteli ya Bwawani jana,nyuma yao ni wajumbe wa bodi ya Mamlaka hiyo,(Picha na Abdallah Masangu).
Maisha : Rais Dkt. Samia Ashiriki Ufunguzi wa Hema la Ibada ya Kanisa la
Arise and Shine Kawe Jijini Dar es Salaam
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu
Hassan akisogeza kitambaa kama ishara ya kuweka jiwe la msingi na kukata
utepe Ufu...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment