
Baadhi ya Wajumbe wa Mkutano wa Jumuiya
ya Wastaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,wakimsikiliza Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein,alipokuwa akizungumza na Wajumbe hao katika mkutano maalum
uliofanyika leo katika ukumbi wa Salama Bwawani Mjini Unguja. 
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyakazi Wastaafu wa Jamuhuri ya Muungano Tanzanmia Mohammed Ali Maalim, akitowa maelezo ya Jumuiya yao kwa Rais wa Zanzibar. wakati wa Mkutano Mkuu wa Jumuiya hiyo uliofanyika Ukumbi wa Salama Bwawani.
Katibu wa Jumuiya ya Wafanyakazi Wastaaf wa Jamuhuri ya Muungano,Rashid Ali Juma, akisoma risala yao wakati wa Ufunguzi wa Mkutano wao Mkuu wa Jumuiya hiyo uliofanyika katika Ukumbi wa Salama Bwawani.
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyakazi Wastaafu wa Jamuhuri ya Muungano Tanzanmia Mohammed Ali Maalim, akitowa maelezo ya Jumuiya yao kwa Rais wa Zanzibar. wakati wa Mkutano Mkuu wa Jumuiya hiyo uliofanyika Ukumbi wa Salama Bwawani.
Katibu wa Jumuiya ya Wafanyakazi Wastaaf wa Jamuhuri ya Muungano,Rashid Ali Juma, akisoma risala yao wakati wa Ufunguzi wa Mkutano wao Mkuu wa Jumuiya hiyo uliofanyika katika Ukumbi wa Salama Bwawani.
Baadhi ya Wajumbe wa Mkutano wa Jumuiya
ya Wastaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,wakimsikiliza Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein,alipokuwa akizungumza na Wajumbe hao katika mkutano maalum
uliofanyika leo katika ukumbi wa Salama Bwawani Mjini Unguja.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,alipokuwa akisalimiana na Viongozi wa Jumuiya ya
Wastaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,alipowasili katika
viwanja vya Ukumbi wa Salama Bwawani Mjini Unguja leo, alipohudhuria
katika Mkutano Maalum na Wastaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Baadhi ya Wajumbe wa Mkutano wa Jumuiya ya Wastaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,alipokuwa akizungumza na Wajumbe hao katika mkutano maalum uliofanyika leo katika ukumbi wa Salama Bwawani Mjini Unguja. ([Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.] 
Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo Ramadhani Mzori akitowa shukrani kwa niaba wa Wanachama wezeke kwa Rais wa Zanzibar baada ya kutowa nasaha zake kwa Wanachama wa Jumuiya hiyo.
No comments:
Post a Comment