Mfanyabiashara ya mapambo ya Maua akitayarisha mapambo hayo katika viwanja vya bustani ya Mkunazini kwa ajili ya wateja wake ili kupamba katika kipindi cha Sikukuu ya Eid-Fitry inayotarajiwa kusherehekewa mwishoni mwa wiki hii.
MANISPAA YA UBUNGO YATENGA MILIONI 28 KWA AJILI UTEKELEZAJI WA PJT-MMMAM
-
NA MWANDISHI WETU
MANISPAA ya Ubungo imetengea bajeti ya fedha zaidi ya Sh milioni 28,000,000
kwa ajili ya utekelezaji wa Programu Jumuishi ya Malezi, Maku...
5 hours ago
ASSALAM ALAIKUM KAKA OTHMAN...NAONA KAMA KICHWA CHA HABARI HAKIJAKAA SAWA HEBU ANGALIA KWA MAKINI NAONA KAMA INATAKIWA ISOMEKE "MFANYABIASHARA WA MAPAMBO...." NA SIO "Mfanyabiashara ya mapambo ya Maua...."
ReplyDeleteShukran mdau tumerekebisha
ReplyDelete