Habari za Punde

Ligi Kuu ya Zanzibar yaendelea Jamhuri 2 - Super Falcon 1

 
Alienyoosha mkono kocha mkuu wa klabu ya soka ya Jamhuri Salim Bausi wakati akibeza moja ya nafasi waliopoteza wachezaji wa klabu hiy, na kukosa goli la tatu, katika mchezo wa ligi Kuu wa Zanzibar uliopigwa juzi uwanja wa Gombani Pemba ambapo timu hiyo iliondoka na ushindi wa magoli 2-1 dhidi ya bingwa mtetezi timu ya Super Falcon (picha na Haji Nassor, Pemba)


Mlinzi wa timu ya Jamhuri, Hussein Omar akiwa juu ya mgongo wa mshambuliaji wa timu ya Super Falcon Soud Abdallah (19), wakati mshambuliaji huyo akitaka kuumiliki mpira ili kuleta madhaara kwa wapinzani wao, ambapo katika mchezo huo wa ligi kuu ya Zanzibar, Jamhuri ilishinda kwa magoli 2-1 (picha na Haji Nassor, Pemba)  

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.