Mwalimu wa Chuo cha Uwandishi wa Habari
Zanzibar (ZJMMC), Juma Ali Simba akizungumza na waandishi wa habari ambao ni
wanachama wa klabu ya waandishi wa habari Pemba (PPC), kwenye mafunzo ya siku
tatu juu ya maadili ya waandishi wa habari, yaliofadhiliwa na Bazara la Habari
Tanzania (MCT) kwa kushirikiana na Klabu ya Waandishi wa habari Pemba (PPC),
yaliofanyika ukumbi wa TASAF Pemba (picha
na Haji Nassor, Pemba)
Wadau wa Sheria wapongeza ofisi ya Mwandishi Mkuu kwa kuandika sheria
timilifu
-
Na: Calvin Gwabara – Dar es salaam.
Kamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), Bi. Amina
Talib Ali, amesema Tume hiyo ni mdau mkubw...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment