MSAIDIZI Meneja Elimu kwa walipa kodi kutoka
Bodi ya Mapato Zanzibar ZRB Safia Is-haka akizungumza na wafanyabiashara wa mji
wa Wete Pemba hawapo pichani wakati akiwasilisha mabadiliko ya sheria na kanuni
za ZRB kwa mwaka 2012/2013 kushoto ni Afisa Elimu Idara ya walipa kodi kutoka
Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA Saleh Haji Pandu (picha na Haji Nassor, Pemba)
RC Kihongosi Awataka Watoa Huduma Saluni Kuacha Fitina na Majungu
-
Na Pamela Mollel, Arusha
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Kenan Kihongosi, ametoa wito kwa watoa huduma
wa saluni jijini Arusha kuwa na mshikamano na kuonesha ...
50 minutes ago
ZRB ( zanzibar robbery bureau) na TRA ( tanganyika robbery bureau) , majambazi wenye kupewa leseni na serikali , kuwanyonya wananchi kujinufaisha wenyewe na matumbo yao na familia zao , subirini mkiingia makaburini mtakiona cha mtema kuni ,
ReplyDelete