Mdau hayo mambo ya mzigo kupakia bila kiasi na uwezo wa chombo, ndivyo ilivyowakuta wajamaa hawa wakizowa mchanga waliokuwa wamepakia katika rukwama lao na kuupakia tena, ili kuendelea na safari yao wakiwa katika mitaa ya mjimkongwe mkunazini Unguja..
RAIS SAMIA ATOA BILIONI 16.696 KWA UJENZI WA MIUNDOMBINU YA ELIMU MKOANI
TANGA KUPITIA MRADI WA SEQUIP.
-
Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu
Hassan, kupitia bajeti ya mwaka wa fedha 2024/2025, imetoa jumla ya
shilingi bilioni ...
56 minutes ago
No comments:
Post a Comment