Mdau hili ni duka siyo maonesho ya Hapa ni darajani maarufu jua kali wafanyabiashara wakiwa wametandaza viatu barazani kusubiri wateja wa bidhaa hiyo. eneo hilo mara nyingi hufukuzana na askali wa manispa kwa kuwa eneo hilo sio la kufanya biashara ya aina yoyote ile. hapo mwazo wafanyabiashara wa aina hii waliondolewa na kuhamishiwa saateni ili kufanya biashara yao kwa utulivyu zaidi.bila ya bughudha ya kufukusana na askari wa manispa. .
REA YASAMBAZA MITUNGI NA MAJIKO YA GESI KWA WATUMISHI WA GEREZA LA UKONGA
DAR ES SALAAM
-
-REA kuendela kuwajengea uwezo Magereza uendelezaji Miradi ya Nishati Safi
-Mhe. Balozi Radhia Msuya amewahamasisha Maafisa na Watumishi wa Magereza
kuwa M...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment