Habari za Punde

Marekebisho ya Sheria Namba 5 ya 1985 ya magazeti yajadiliwa

 Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Habari maelezo Fakihi Haji Mbarouk akitoa hotuba ya makaribisho kwa waandishi wa Habari waliohudhuria katika Mkutano wa kutoa mapendekezo ya marekebisho ya sheria namba 5 ya mwaka 1985 hapo katika ukumbi wa Hoteli ya Bwawani Zanzibar.
 Baadhi ya Waandishi wa Habari waliohudhuria katika Mkutano wa kutoa mapendekezo ya marekebisho ya sheria namba 5 ya mwaka 1985 hapo katika ukumbi wa Hoteli ya Bwawani Zanzibar.
 Afisa wa Habari kutoka Idara ya Habari Maelezo zanzibar Faki Mjaka akitoa ufafanuzi wa baadhi ya mambo katika Mkutano wa kutoa mapendekezo ya marekebisho ya sheria namba 5 ya mwaka 1985 hapo katika ukumbi wa Hoteli ya Bwawani Zanzibar.kulia ni mwandishi kutoka Redio adhana Said Suleiman.
 Waandishi mbalimbali wakipitia sherianamba 5 ya mwaka 1985 inayotaka kufanyiwa marekebisho hapo katika ukumbi wa Hoteli ya Bwawani Zanzibar.
Mwandishi wa Habari wa Idara ya habari Maelezo zanzibar Miza Kona Ngwali akitoa maoni kuhusu marekebisho ya sheria namba 5 ya mwaka 1985 hapo katika ukumbi wa Hoteli ya Bwawani Zanzibar.
PICHA NA YUSSUF SIMAI-MAELEZO ZANZIBAR.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.