Habari za Punde

Mradi wa Taa za Sollar katika Manispa ya Zanzibar Waingia awamu ya Pili Uwekaji wa Nguzo hizo

Mradi wa Uwekaji wa Taa za Solar katika barabara ya mjini wa Zanzibar umeaza na tayari katika barabara ya kutoka Maisara ikiwekwa taa hizo za nguvu ya jua.
Mafundi wakiwa katika zoezi la kuweka Taa za Solar katika barabara ya Maisara kwebda Michezani
Mafundi wakifunga taa hizo katika barabara ya kutokea kwa Khamis Machungwa kwenda Michezani

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.