Jamaa na ndugu wa Kijina anayetuhumiwa kwa mauaji ya Padri Mushi, wakiwa nje ya jengo la Mahakama Kuu Zanzibar wakizungumza na waandishi wa habari baada ya kutoka katika mahakama hiyo kusikiliza shauri lillilowasilishwa na Wakali anayemtetea Mtuhumiwa huyu, shauro hilo limeahirishwa mpaka jumatatu ijayo.
WANANCHI WAIPONGEZA TANROADS-MOROGORO KWA KUREJESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA
WILAYANI MALINYI
-
Baadhi ya wananchi katika Wilaya ya Malinyi mkoani Morogoro wameipongeza
Wizara ya Ujenzi kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) kwa
kuendelea na k...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment