Habari za Punde

Jamaa wa Mtuhumiwa wa Mauaji ya Padri wakiwa nje ya jengo la Mahakama Vuga.

 Jamaa na ndugu wa Kijina anayetuhumiwa kwa mauaji ya Padri Mushi, wakiwa nje ya jengo la Mahakama Kuu Zanzibar wakizungumza na waandishi wa habari baada ya kutoka katika mahakama hiyo kusikiliza shauri lillilowasilishwa na Wakali anayemtetea Mtuhumiwa huyu, shauro hilo limeahirishwa mpaka jumatatu ijayo. 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.