Jamaa na ndugu wa Kijina anayetuhumiwa kwa mauaji ya Padri Mushi, wakiwa nje ya jengo la Mahakama Kuu Zanzibar wakizungumza na waandishi wa habari baada ya kutoka katika mahakama hiyo kusikiliza shauri lillilowasilishwa na Wakali anayemtetea Mtuhumiwa huyu, shauro hilo limeahirishwa mpaka jumatatu ijayo.
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI,WANAJUA HUFANYIKA KILA MIAKA MITANO-WASIRA
-
Na Mwandishi Wetu, Mwanza
MAKAMU Mwwnyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen
Wasira amewaeleza wabunge na madiwani hususan waliokuwa wan...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment