Habari za Punde

Mdau Ilikuwa Kazi Hapa.


'Chukuwa hiyo'  hivi ndivyo ilivyokuwa katika mpambano huu wa vita ya kuku kuoneshana ubabe katika maeneo ya Rahaleo leo hii mchana,na kufanya kuwa onesho la bure na kuwavutia watu waliokuwa wakipita njia na kuwatazama jinsi kila mmoja akionesha  ubabe kwa mwenzake. 
 
Hatimae Jogoo mweye rangi nyeupe kushinda katika mpambano huo katika dakika za mwisho baada ya kumvujisha damu jongoo mwekundu. 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.