Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Mhariri wa Jukwaa la Wahariri na Mhariri Mtendaji wa New Habari (2006) Ltd, Absalom Kibanda, wakati alipofika Ofisini kwa Makamu Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Juni 10, 2013 kwa mazungumzo. Kibanda alimtembelea Mhe. Makamu ili kumwelezea hali yake kiafya inavyoendelea baada ya matibabu. Picha na OMR
WAZIRI SIMBACHAWENE AIPONGEZA TCAA KWA UTENDAJI BORA KATIKA MAONESHO YA
WIKI YA UTUMISHI WA UMMA 2025
-
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala
Bora, Mhe. George Simbachawene, ameipongeza Mamlaka ya Usafiri wa Anga
Tanzania...
30 minutes ago
Kama ni uungwana nadhani ilikuwa na kwa Makamo wa Rais kwenda kumjuulia hali Absalom Kibanda na si kinyume chake.
ReplyDeleteKwa uungwana afanye kazizake kwa uadilifu vyombo vya habari ni macho ya jamii inotaka kujikomboa
ReplyDelete