Fundi wa kituo cha watoto Jamuhuri garden, akifunga moja ya pembea katika kituo hicho.
Moja ya Pembea mpya iliofungwa katika kituo cha kuchezea watoto katika bustani ya jamuhuri garden ikiwa imekamilika ufungaji wake na ikisubiri kutoa huduma kwa watoto watakaofika katika kituo hicho kwa michezo ya watoto katika siku za sikukuu na week end.
Wakulima wa Chama cha Msingi Namkeke Namtumbo Wanufaika na Kampuni ya 3H,
Tobacco Uchumi Wapanda
-
Wakulima wanaojihusisha na kilimo cha tumbaku kupitia chama cha msingi
Namkeke wamepata mafanikio makubwa kiuchumi kufuatia ushirikiano na
kampuni ya 3H...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment