Fundi wa kituo cha watoto Jamuhuri garden, akifunga moja ya pembea katika kituo hicho.
Moja ya Pembea mpya iliofungwa katika kituo cha kuchezea watoto katika bustani ya jamuhuri garden ikiwa imekamilika ufungaji wake na ikisubiri kutoa huduma kwa watoto watakaofika katika kituo hicho kwa michezo ya watoto katika siku za sikukuu na week end.
Self MF kuwapa mikopo wajasiliamali wanaotumia nishati Mbadala
-
MENEJA wa Mfuko wa Self MF Kanda ya Kati Dodoma na Singida Aristid Tesha
amesema kuwa kwa sasa mfuko huo umeanzisha bidhaa mpya ambapo wanatoa
mikopo kwa w...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment