Fundi wa kituo cha watoto Jamuhuri garden, akifunga moja ya pembea katika kituo hicho.
Moja ya Pembea mpya iliofungwa katika kituo cha kuchezea watoto katika bustani ya jamuhuri garden ikiwa imekamilika ufungaji wake na ikisubiri kutoa huduma kwa watoto watakaofika katika kituo hicho kwa michezo ya watoto katika siku za sikukuu na week end.
MAJALIWA AWASILI SHELISHELI KUMWAKILISHA RAIS DKT. SAMIA UAPISHO WA RAIS
MTEULE DKT. PATRICK
-
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Oktoba 26, 2025 amewasili Seychelles kwa
ajili ya kumwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye uapisho wa Rais
mteule ...
3 hours ago

No comments:
Post a Comment